Mkuu wa Mkoa wa shinyanga awaahidi wazee kuwaboreshea huduma za Afya
Na Barnabas Kisengi Shinyanga MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme amekutana na Wazee Manispaa ya Shinyanga kuzungumza nao, kufahamiana, huku akiwaahidi kuboresha huduma za Afya kwa wazee. Mkuu wa Mkoa amesema leo ni siku yake ya kwanza kuanza kazi mkoani humo, hivyo ameona kitu cha kwanza azungumze na wazee ili apate baraka pamoja na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed